Kuna application mpya ya ki africa inayoitwa "Sasai"
ambayo ina msemo/slogan isemayo "Pay,chat,Explore".
·
Pay ni utakuwa na uwezo wa kulipa bidhaaa popote.
·
Chat ndo watu watakapo kuwa wanachati mwanzo mwisho.
·
Lakini pia watu wa "diaspora" (Yani waliyopo nje ya
nchi zao) wanaweza tuma pesa nyumbani au pia kutumiwa kama vile “western union”
lakini gharama zitakua chini sana.
Hii ikiwa ni juhudi za kuicopy "Whatsapp" lakini
inakua ya ki africa
Jaribu kuidownload hapa na kusema ulichopenda na ambacho we
hukukipenda.
Unazani ataeza kuipika whatsapp? Au kuiteka Africa??? Natamani kusikia
kutoka kwako!.