Thursday, August 29, 2019

Umeiskia hiyo part1 Sasai app


#Umeisikia_hiyo ?
Kuna application mpya ya ki africa inayoitwa "Sasai" ambayo ina msemo/slogan isemayo "Pay,chat,Explore".
·         Pay ni utakuwa na uwezo wa kulipa bidhaaa popote.
·         Chat ndo watu watakapo kuwa wanachati mwanzo mwisho.
·         Lakini pia watu wa "diaspora" (Yani waliyopo nje ya nchi zao) wanaweza tuma pesa nyumbani au pia kutumiwa kama vile “western union” lakini gharama zitakua chini sana.
Hii ikiwa ni juhudi za kuicopy "Whatsapp" lakini inakua ya ki africa
Jaribu kuidownload hapa na kusema ulichopenda na ambacho we hukukipenda.
Unazani ataeza kuipika whatsapp? Au kuiteka Africa??? Natamani kusikia kutoka kwako!.

Friday, February 17, 2017

Nokia 3310 iyo imerudi!


Nokia 3310 yarudi kuwa kamata yani baumba to baumba
simu ya nokia 3310 ilizinduliwa rasmi mwaka 2000 miaka kumi na saba iliyopita na ilitambulika kwa ubora wake wa kutokupasuka kirahisi na betry kukaaa mda mrefu takribani siku saba sasa imerudi kwa style tofauti.
Simu hiii itarudi ikiwa na tabia ya smart phone  na pia itakua inagharama ya dola $62 ambayo ni takribani sawasawa na kusema 62*2100=130,00 laki na elfu thelathini kwa bei ya huku tanzania.
kusema kweli natamani hiii simu itoke maaana hata kama niwe nina simu gani lazma ntainunua kwa gharama yoyote.
Kwa sasa nokia wanajitaidi kwa kiwango kikubwa kurudi kwenye soko.
Hata juzjuz nokia walitangaza kuuuza simu laki moja katika ndani ya dakika moja.
Mpaka sasa aijayhibitika kama hii simu itakua na uwezo wa aina gani na gani lakini kabla ya mwezi huu wa pili kuisha lazima tutaiona nokia 3310 ikiwa hai nafrai sana kwa hizi kazi za nokia

Thursday, January 12, 2017

Vitu ambavyo hujasikia pale ces2017 ilipotokea

ces ni maonesho ya kiteknologia ambayo yanaoneshwa nchi za wenzetu huku maonesho makubwa ni nane nane Christopher ngure

vifaa vizuri zaidi 6 vilivyo oneshwa katika maonesho hayo


  1. Power ray drone
Drone imekua duniani tumeiona mahali kadhaa wa kadhalika zote ni za angani lakin hii "Powerray drone" ina uwezo wa kuchukua video za ukubwa wa 4k resolution chini ya maji. Na itakuwa ina uwezo wa wifi ambbayo itamsaidia mtumiaji wa kifaa hicho kuweza kuwasiliana nacho kirahisi.Bado bei haijatajwa lakin itakuwa maeneo ya $3,000 takribani (6,000,000/=tsh) kwa bei za kitanzania.
  1. LG TV WALLPAPER

         
    Maajabu hii ni wallpaper ya kueka ukutani lakin hapo hapo ni televisheni. Nyembamba,pana inajishika ukutani na sumaku ilionayo.Itakuja ya inchi 65 au inchi 77Bei bado haijatangazwa
  2. Moro Robot
                 

    Hii robot itakua na uwezo wa kukumiminia vinywaji kama chai au maji au soda pia na uwezo wa kukunja nguo zako na uwezo wa kwenda sokoni.Itakua na uwezo wa kutambua sauti na sura za watu ili iweze jua nani anaetoa maelekezo.
    Itakua takribani dola 30,000 pale itakapo kuja
  3. Motivs smart ring
                                         

    Hii ni pete janja yani smart ring ambayo itakuwa inachukua rekord ya kazi zako kama mapigo ya moyo ume kimbia kilometa ngapi na kukupa matokeo kila unapoyaitaji kwenye simu yako.Pete hii itakua na gps yake ambayo itakua inarekodi urefu ulio tembea kwa siku nzima.bado hazija anza kuuzwa itakapo anza itakua...
    Dola 200
  4. Vuzix                          

    Vuzix ni miwani ambayo imekua na mafanikio baada ya Google glass kufa.Miwani itakuwa na uwezo wa kuwasiliana na simu yako ya mkononi ,jicho la kulia utaweza kusoma sms,kuangalia video.wakati jicho la kushoto utakua na uwezo wa kupiga picha kwa kamera ndogo iliopo kwenye jicho la kushoto.Itazinduliwa 2017 mwishoni. 
  5. Bei bado haijatajwa
  6. Sony projector
                                    
    Pojector ya sony ambayo ni dola 25000.Projector Hii itakua na uwezo wa kufanya ukuta wowote wa kwenu kuwa tv kwa uwezo wake wa kuonesha kwa inchi 100 ukutani ikiwa ime ekwa inchi 6 tu kutoka ukutani ambayo hamna projector ya kawaida inayo weza kufanya ivyo na kuonesha kwa 4K resolution bei yake itakua Dola 25,000
je umevutiwa na nini?

EQUATOR TUNAPENDA COMENT ZAKO COMENT HAPO CHINI

Sunday, January 8, 2017

Mambo kumi na mbili usiojua kuhusu BILLGATES

Mambo 12 ya kumhusu BILL GATES

  1. Billgates jina lake kamili ni WILLIAM HENRY GATES
  2. Aliandika program yake ya kwanza kweny komputa za zamani game liitwalo tic-tac-toe shule iitwayo "lakeside prep school"
  3. Mara baada ya shule kugundua uwezo wa Billgates kutengeza program walimwomba andike program ya kupangilia ratiba ya shule hiyo. lakini Billgates akachakachua ratiba hiyo na kupanga vipindi ambapo atakaa mbali na wasichana
  4. Billgates ndo tajiri wa kwanza duniani mwenye pesa taslimu dola billioni 79
  5. Billgates yeye pamoja na mshirika mwenzake Paul allen ndio walio gundua kampuni ya Microsoft ambayo ndo kampuni maarufu na yenye mafanikio duniani inayohusiana na mambo ya computer ikiwemo na software yao ya "Microsoft windows
  6. Paul allen na Billgates walianzisha kampuni wakati bado wapo shuleni kampuni hiyo ilikua na jishughulisha na mambo ya kupigia bei ya parking kwa magari yanayo paki
  7. Billgates hakumaliza chuo bali alisitisha masomo yake mwaka 1975 ili ajiwekeze kwenye kampuni yake ya microsoft
  8. Billgates alipangilia kuwa tajiri alipokuwa na miaka 30 lakini alikua tajiri alipokuwa na miaka 31
  9. Billgates ni mwanadamu mwenye roho safi ambae pamoja na utajiri wake huwasaidia masikini na mradi alioanzisha yeye na mkeweMellinda gates
  10. Billgates pamoja na utajiri wake haamini kama ni vyema kuwapatia watoto wake (mabinti zake JENNIFER,PHOEBE na wa kiume roy) utajir yeye husema
    "kuwapa watoto hela nyingi ni kuwalemaza kisaikolojia maana hawatafanya kazi
    kwa hivyo basi kaamua kuwa achilia urithi wa milioni kumi dola amabazo ni takribani milioni mia mbili kitanzania kati ya billioni79 dola alizonazo
  11. Billgates anasema kwamba kama asingekua anafanya kazi
  12. Billgates hajui lugha nyingine tofauti zaidi ya english na ni kitu anasema anajutia

Thursday, January 5, 2017

je hali ngumu? fanya haya mambo 11 upate kazi na hela ndefu huko google?

unataka kupata google?? yenye mshahara wa $90,000 mpaka $120,000 basi fanya haya 11 yafuatayo
Kupata kaz Google imekuwa ni ndoto pia Google ndo sehemu ya kwanza kuwa na mazingira mazuri ya kazi duniani kulingana na wana tathmini
Pia mshahara ni mzuri
Kuna watu wanaolipwa kwanzia
$90,000 




1) kasomee computer science/It


Katika shirika hili somo hilo ndo uti wa mgongo.
unaweza jifunza mabo haya kupitia udacity.com, au thenewboston.com au nenda shule zenye somo hilo.
"Hatuchagui watu kwa Gpa" kulingana na Google

2) Jifunze ku unda application kwa kodi(code)


Application programing yan kutengeneza application kwanzia mwanzo mpaka mwisho na lugha malum kutengeneza kama
C,c++ c# na zingine nyingi.

3) Jenga mazoea ya kutengeza applications kwa vitendo


Kwa kuongeza mazoea unatakiwa kujua namna ya kujua matatizo ya aina nyingi ambayo inaeza tokea wakat wa kutengeza application yako.

4) Kasomee lugha zingine


Sio lugha kama ya kingereza au kihindi ama kichina bali ni
Lugha za kutengeneza application kama vile php,html,python ama zozote uzipendazo ambazo unajua zina umuhimu.

5) Zijue kwa kina operting system

Operating system ni kama vile
-windows 7,8,10.
-Linux/unix
-solaris
Na zingine jinsi zinavyo fanya kazi maaana ndicho utakacho fanya nayo kazi

6) Jua namna ya kufanya kazi na data kubwa

Google sio kampuni ya kitoto! Ina fanya kazi na taaarifa za mamilioni na milioni kwa hiyo inabidi ujifunze mbinu za kujua ni mbinu gan ya kushughulika nazo.

7) Mathematics uijue

Kaz za google ni za it na computer sciense na vitu hivi vimebobea na mahesabu kwayo maesabu yote ya kuhusu uyajue na uwe mzuri

8) Unda"COMPILER"

Compiler kaz yake ni kuchukua zile kodi zako ambazo umeandika kwa ajili ya kutengeza application na huzibadilisha kodi kuwa kawaida kama unavyotaka kwayo ukiweza kutengeza bas utajua namna ya kukodi kupita maelezo

9) Parallel programing

Ni uezo kuweza kufanya kazi na lugha mbili au zaidi kuzifanya zifanye kazi kwa pamoja!

                           10) ulinzi computer(cryptography)


Ili kuzuia udukuzi(haking) ina bidi ujifunze namna ya kujua na kupambana na udukuzi wa aina nyingi unaeza jifunza kutoka cybrary.com

11) Interview

Kazi ya google ina hela nzuri sana lakini wana maswali magumu sana na wanachukua watu wenye vipaji vya hali ha juuu kaaa chonjo nitapost baadhi ya maswal ambayo wanauliza google.

*je umependa makala haya like page yetu ya Equatortech katika facebook usipitwe na habari za ukwel
Equatortech.Blogspot.com
Coment hapo chin kwa account yako ya facebook je umeona nini?*

Wednesday, December 28, 2016

Blackberry imekufa lakin hizi hapa simu kali ambazo nokia wanaziachilia hivi punde na bei zake

Kampuni hizi za zamani ambazo ndo zilikua zamani vinara za simu kabla biashara za simu za smartphone zenye andriod azijaibuka simu hizi kwa pamoja ndo zilikua zinabamba kwa mambo yafuatayo

Nokia ilikuwa na sifa za uimara kwanzia zile nokia za zamani ambazo zilikua na uwezo wa kukaa na

  1.  Betry zaidi ya siku mpaka tano
  2. pia ugumu nokia ilisifika kwa ugumu wa kuvunjika kirahisi
  3. Nokia ikahamia kwenda kwenye simu zenye uwezo wa mziki kama nokia express music na saut zake zilikua na ubora mzuri kulingana na simu zingine
  4. Nokia ikawa ndo simu namba moja kwa ubora.

Blackbery imethibitisha kwa hiyo kampuni kuacha kutengeneza simu hii ni baada ya kupitwa kiushindani kwa kishindo kikubwa kama simu za IPHONE 7 na IPHONE 7 PLUS  kwa sababu hiyo kwamba kampuni hiyo imekufa ni kwamba zile simu zote zilizo tolewa bado zitaendelea kufanya kazi kama kama kawaida yake
                     

                           

Tetesi zinasema kwamba Nokia inatarajia kutoa simu tatu mwaka ujao 2017 kutoa simu tatu zenye andriod ndani yake na ya kwanza ni
                        NOKIA D1C



                                Itakua na vitu vifuatavyo 

  1. Camera 16 megapixeli kwenye kamera za mbele ya na ya nyuma.
  2. Ram ya Gb3.
  3. Screen size ya inch 5.5.
  4. Cpu ya 1.4ghz..
  5. gpu ya Ardeno.
  6. Resultion 1080p.
  7. Simu hii ya d1c kuna uwezekano wa kutoka size mbili tofaut.
  8. BEI KULINGANA NA TETESI ITAKUA $200 AMBAYO NI SAWA NA 450,000 KWA BEI YA TANZANIA

                                              NOKIA P1


                         Itakua na vitu vifuatavyo 

  1. Kinga dhidi ya maji yani(water and dust resistance)
  2. kamera ya mbele megapixeli 8
  3. kamera ya  nyuma megapixel 22
  4. ram Gb3
  5. resolution 2k resolution
  6. cpu 2.3 Snapdragon
  7. operating system 7.0 nougat
  8. screen inchi  5.4112 


kumbuka taarifa hizi zinaletwa kwenu na equatortech blog inayokupa habari nzuri za kiteknologia kwa lugha ya kiswahili
like page yetu hapo chini kupata taarifa za lugha ya kiswahili viganjani mwako

Thursday, December 8, 2016

zawadi tano za kumnunulia umpendea christmass hii!!!

        zawadi tano za kumnunulia umpendea christmass hii!!! kutoka equator technologies

1Mifi 


        Mifi ni kifaa ambacho kitamwezesha mtumiaji atumie internet popote atakapotaka kwa kutumia teknologia ya wifi na ataweza kushare internet hiyo kwa vifaa kama laptop,tablet,computer & hata simu janja
(SMARTPHONE) kwanzia nane hata kuzidi na spidi ya 4g,3g au zaidi uzuri wa "mifi" ni kwamba watu wataweza kuchangia hela ya kifurushi na kutumia internet kwa wakat moja na kupata video,miziki,mitandao ya jamii na elimu kulingana na unavyopenda ndani ya tanzania kampuni za mitandao ndio wanaouza kama smart,voda,airtell, na kadhalika yote 9 ,10 kifaa hiki cha mifi uaneza ukakipata kwa mawakala wa smart kinachoitwa "MIFI 4G LTE" kifaa hicho kinauzwa 135,000/= utapewa internet ya bure mwezi mzima bila kikomo cha speed na ukubwa wa data mpaka GB599.

2VR(Virtual reality)

VR imekuwa ni teknologia ambayo imekuwa huko nchi za wenzetu lakini huku tanzania tunaiskilizia kwenye bomba  lakini maaduka ya mtandaoni ya tanzania yameanza kuziletea tanzania
kwa Kutumia vr utaeza kwenda TOUR wakati upo ndani ya nyumba yako vr ni kifaa amabcho kitakupa mwonekano au maono ambayo utasahau mazingira uliyokuwepo na kuhisi upo katika maeneo tofauti kabisa Vr inampa mtazamaji kufanya vifuatavyo
  1. kucheza gemu
  2. kutizama video katika uhalisia
  3. kutembelea maeneo tofauti bila kujali mahala alipo

  4. kununua vr unaweza kutembelea page ya samsung au kaymu kwa bei ya haki kabisa.

3 TELEVISHENI(kideo)

 Televishini ama kideo imekua ikibadlika lakin kwa watu ambao walinunua ambazo za zamani imekuwa ngumu kubadilisha ama wanaona haman amna ulazima wa kutoa tv za zamani na kuzieka mpya ambazo ni smart hi au flat screen 
vifuatvyo ni vitu unavoweza kuzingatia
  1. UZURI WA KUONESHA (PIXEL)

    Jinsi pixel zinavokua nzuri ndivyo ubora wa kuonesha unavyokua ngeshauri labda 1080 pixels
  2. UKUBWA WA KIDEO

    TV skwizi zina kuwa na utofauti wa screen kwanzia inch 21,inchi32,inch50, kumbuka ukubwa wa screeen haisaidii ubora wa pixels ni bora ukawa makini
     

4  Tablet  

Tablet ina matumizi mengi kama vile
  • ofisi
  • starehe(miziki,filamu,magemu)
  • mawasiliano
vitu vya kuzingatia wakati wa kuchagua tablet
  • ukubwa wa screen
    huenda kwa inchi kwanzia 5,6,7.
  • uwezo wa kuhifadhi
    huenda kwa kipimo cha GB kwanzia gb1,2,4,8,16,32,64 na kuendelea.

5 taja wewe

equatortech ingependa kusikia ushauri wako kuwa huru na ukoment kitu unachopenda