Nokia ilikuwa na sifa za uimara kwanzia zile nokia za zamani ambazo zilikua na uwezo wa kukaa na
- Betry zaidi ya siku mpaka tano
- pia ugumu nokia ilisifika kwa ugumu wa kuvunjika kirahisi
- Nokia ikahamia kwenda kwenye simu zenye uwezo wa mziki kama nokia express music na saut zake zilikua na ubora mzuri kulingana na simu zingine
- Nokia ikawa ndo simu namba moja kwa ubora.
Blackbery imethibitisha kwa hiyo kampuni kuacha kutengeneza simu hii ni baada ya kupitwa kiushindani kwa kishindo kikubwa kama simu za IPHONE 7 na IPHONE 7 PLUS kwa sababu hiyo kwamba kampuni hiyo imekufa ni kwamba zile simu zote zilizo tolewa bado zitaendelea kufanya kazi kama kama kawaida yake
Tetesi zinasema kwamba Nokia inatarajia kutoa simu tatu mwaka ujao 2017 kutoa simu tatu zenye andriod ndani yake na ya kwanza ni
NOKIA D1C
Itakua na vitu vifuatavyo
- Camera 16 megapixeli kwenye kamera za mbele ya na ya nyuma.
- Ram ya Gb3.
- Screen size ya inch 5.5.
- Cpu ya 1.4ghz..
- gpu ya Ardeno.
- Resultion 1080p.
- Simu hii ya d1c kuna uwezekano wa kutoka size mbili tofaut.
- BEI KULINGANA NA TETESI ITAKUA $200 AMBAYO NI SAWA NA 450,000 KWA BEI YA TANZANIA
NOKIA P1
Itakua na vitu vifuatavyo
- Kinga dhidi ya maji yani(water and dust resistance)
- kamera ya mbele megapixeli 8
- kamera ya nyuma megapixel 22
- ram Gb3
- resolution 2k resolution
- cpu 2.3 Snapdragon
- operating system 7.0 nougat
- screen inchi 5.4112
kumbuka taarifa hizi zinaletwa kwenu na equatortech blog inayokupa habari nzuri za kiteknologia kwa lugha ya kiswahili
like page yetu hapo chini kupata taarifa za lugha ya kiswahili viganjani mwako
like page yetu hapo chini kupata taarifa za lugha ya kiswahili viganjani mwako