Monday, August 29, 2016

Tafuta gari yako kwa kutumia simu yako

TAFTA GARI YAKO KUTUMIA SIMU YAKO YA ANDROID AU IPHONE? AMA MALI YAKO
 hii ina wezekana kwa kutumia kifaaa kinacho itwa TRACKR ni kifaaa kidogo saiz ya mia tano ya silver
kwa hili waweza tafuta kitu unachokitaka tafuta kiwe ni simu gari ama mtu au mzigo labda chochote unachotaka unaweza kununua kupitia
1  hatua ya kwanza ni kukiagiza kupitia hapa juu
2 Kukieka  unapotaka kama ni gari weka mahali ambapo ni ngum kupotea au kuonekana
3 download application hiyo playstore.
4 pindi unapotaka kujua gari/mali yako liko wapi kwa kutumia simu yako ni virahisi sana kupata


kumbuka.....equator
 tunawaeletea habari za kiteknologia
 email:chrisngure2599@gmail.com